Joshua 12:8
8 ▼
wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
▼In order to format the table contained in this verse correctly, it has been necessary to move the content of some adjacent verses into it.
,
bnchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):| 9 cmfalme wa Yeriko | mmoja |
| mfalme wa Ai (karibu na Betheli) | mmoja |
| 10 dmfalme wa Yerusalemu | mmoja |
| mfalme wa Hebroni | mmoja |
| 11 emfalme wa Yarmuthi | mmoja |
| mfalme wa Lakishi | mmoja |
| 12 fmfalme wa Egloni | mmoja |
| mfalme wa Gezeri | mmoja |
| 13mfalme wa Debiri | mmoja |
| mfalme wa Gederi | mmoja |
| 14 gmfalme wa Horma | mmoja |
| mfalme wa Aradi | mmoja |
| 15 hmfalme wa Libna | mmoja |
| mfalme wa Adulamu | mmoja |
| 16 imfalme wa Makeda | mmoja |
| mfalme wa Betheli | mmoja |
| 17 jmfalme wa Tapua | mmoja |
| mfalme wa Heferi | mmoja |
| 18 kmfalme wa Afeki | mmoja |
| mfalme wa Lasharoni | mmoja |
| 19 lmfalme wa Madoni | mmoja |
| mfalme wa Hazori | mmoja |
| 20 mmfalme wa Shimron-Meroni | mmoja |
| mfalme wa Akishafu | mmoja |
| 21 nmfalme wa Taanaki | mmoja |
| mfalme wa Megido | mmoja |
| 22 omfalme wa Kedeshi | mmoja |
| mfalme wa Yokneamu katika Karmeli | mmoja |
| 23 pmfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) ▼ ▼Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori. | mmoja |
| mfalme wa Goimu katika Gilgali | mmoja |
| 24 rmfalme wa Tirsa | mmoja |
Copyright information for
SwhNEN